CHRIS BROWN APIGWA TAFU MAHAKAMANI NA MCHUMBA WAKE PAMOJA NA BOW WOW


Marafiki wa kweli utawajua pale unapopatwa na matatizo, Mama mzazi wa  Chris Brown ‘Joyce Hawkins’ aliyekuwa ameambatana pamoja na mkwe wake ‘Karrueche Tran’, Rapa Bow Wow na Tank wameonekana kwenye viunga vya mahakama jijini Washington DC ikiwa ni katika hali ya kumpa kampani jembe lao.
cb1Mchumba wa Chris Brown ‘Karrueche Tran’ (Wa kwanza kushoto) akiingia mahakamani pamoja  na mama mzazi wa Brown ‘Joyce Hawkins’ aliyevalia koti jeusi.
Mkali huyo anayesumbua na ngoma ‘Loyal’ ambaye kwa sasa anatumikia kifungo cha mwezi mmoja gerezani kufuatia makosa ya uvunjaji sheria aliyoyafanya pindi alipokuwa Rehab.
Hata hivyo jaji aliyekuwa akitarajiwa kutoa uamuzi dhidi ya kesi hiyo kwa mlinzi wake ‘Christopher Hollosy’ siku ya Ijumaa alichelewa na kesi kuahirishwa hadi jumatatu. Kesi ya Chris itaanza kusikilizwa Jumatatu.
Bow Wow 
Bow Wow akiwasili mahakama kumpa sapoti mshikaji wake huyo wa kitambo kirefu
Karueche 
Karrueche Tran
Tank 
Mwanamuziki Tank nae alikuwa miongoni mwa watu waliojitokeza mahakamani kumpa kampani Brown.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.