KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI

  Meneja wa Bia ya Serengeti Rugambo Rodney (katikati) akiongea
na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi wa droo ya winda safari ya 
Brazil na Serengeti iliyofanyika kiwandani Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni 
ofisa kutoka PWC Bi Golder Kamuzora (Kulia) na afisa mkaguzi kutoka bodi ya 
michezo ya kubahatisha Bw. Humudi Abdulhussein (Kushoto)
Meneja wa Bia Serengeti Rugambo Rodney (kulia) akiongea na
mmoja wa washindi wa droo ya 10 ya winda safari ya Brazil kwa njia ya simu 
huku akishuhudiwa na mkaguzi kutoka Bodi ya michezo ya kubahatisha Bw Humudi 
Abdulhussein (kuhoto), wakati wa kuchezesha droo ya 10 ya winda safari ya 
Brazil na Serengeti iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI