NIGERIA YASHIKA NAFASI YA KWANZA KIUCHUMI BARANI AFRIKA, YAIPIGA BAO AFRIKA KUSINI.


Jiji la Lagos, Nigeria katika picha
Jiji la Lagos, Nigeria katika picha
Nigeria imetajwa kuwa nchi ya kwanza kuongoza kiuchumi barani Afrika na kuipita Afrika kusini iliyokuwa ikishikilia nafasi ya kwanza hapo awali.
Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa na waziri wa fedha wa Nigeria, Ngozi okondwe ileyala alisema ‘’Nigeria ni nchi inayodhalisha mafuta kwa wingi barani Afrika na hivi sasa inachukua nafasi ya 26 katika orodha ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani’’.
Wakati huo huo shirika la fedha la kimataifa ‘IMF’ pamoja na mashirika mengine ya fedha ya kimataifa yameidhinisha takwimu mpya za GDP ambazo zimeifanya nchi hiyo kuongoza kiuchumi barani afrika.
Pato la taifa ka Nigeria kwa mwaka jana liliongezeka na kufikia dola za kimarekani bilioni 509.9 ikiwa ni juu ikilinganishwa na Afrika kusini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.