WAWILI WAKAMATWA MKUTANO WA CCM WAKIGAWA VIPEPERUSHI UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE


Vijana hawa wawili walikamatwa kwenye mkutano wa CCM wakigawa vipeperushi vya Chadema bila wasiwasi ,hata hivyo viongozi wa CCM waliokuwa kwenye mkutano huo wa kampeni uliofanyika kijiji cha Mkoko kata ya Msata tarehe 24 Machi 2014, waliwaambia tu wanachofanya  ni uvunjaji wa utaratibu hivyo kuwaomba waondoke eneo la mkutano huo na kusubiri zamu ya mkutano kisha ndio wasambaze vipeperushi vyao.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.