PHOTO’S: LIVE kutoka mochwari ya Morogoro tayari kwa safari ya kuelekea Dar es Salaam kwa maandalizi ya mazishi
Mbonie Masimba leo ni mtu wa kulia kila mara akikutana na ndugu jamaa na marafiki, kweli huwezi amini kama Tyson hatunae tena, aliyevaa nguo ya njano yenye vidoti doti ameinama chini ni mama mzazi wa Mboni ambaye tulikuwa nae toka juzi kwenye shughuli ya kuwagaia wanafunzi madawati
Team ya The Mboni Show ikiwa kwenye picha ya pamoja, hawa niliosimama nao ndio waliokuwa kwenye ile gari pamoja na marehemu Geogre Tyson na hapo hali zao si nzuri sana kila mmoja analalamika maumivu kwenye sehemu zao za mwili. Halafu wawili wamekimbizwa hospital ya Mwimbili kwa matibabu ya haraka.
David mmoja wa camera man wa The Mboni Show akizungumza na waandishi wa habari
PICHA NA DJ CHOKA…
Comments