Viongozi wa kisiasa nchini Uingereza akiwemo waziri mkuu nchini
humo wamekemea hukumu ya kifo iliopewa mwanamke mmoja wa kikristo kwa kukataa
kubadili dini yake.
Wameitaja hukumu hiyo kama ya kuudhi.Mwanawe wa kiume aliye na miezi 20 pia yuko naye katika jela hiyo.
Amekuhukumiwa kwa kuwacha dini yake baada ya kukataa kubadilika kuwa muislamu.
Bi Ibrahim ambaye ameolewa na mkristo pia amehukumiwa kuchapwa viboko 100 kwa kuzini kwa kuwa ndoa na mtu ambaye si muislamu si halali chini ya sheria za Sudan.
Comments