Jiji kiongozi mpya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Shaaban Lila akila kiapo alipokuwa akiapishwa na Rais Jakaya Kikwete Ikulu, Dar es Salaam leo.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Jaji Kiongozi mpya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Shaaban Lila (kushoto kwake) pamoja na viongozi wengine
JK AKISALIMIANA NA NDUGU WA jAJI HUYO
Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu (kushoto), akizungumza na Jaji Kiongozi mpya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Shaaban Lila
Rais Kikwete akifikiria jambo alipokuwa akizungumza na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika hafla hiyo
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi zana za kazi Jaji Kiongozi mpya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Shabaan Lila,baada ya kumwapisha Ikulu, Dar es Salaam . (PICHA ZOTE NA NA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
JK AKISALIMIANA NA NDUGU WA jAJI HUYO
Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu (kushoto), akizungumza na Jaji Kiongozi mpya wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Shaaban Lila
Rais Kikwete akifikiria jambo alipokuwa akizungumza na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika hafla hiyo
Comments