Waziri
wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Muhongo Wa kwanza kulia), akiongea
jambo na wataalamu wa masuala ya gesi na umeme wa Algeria wakati
walipokwenda kutembelea Mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gesi asilia wa
HAMMA ,Mtambo huo wenye uwezo wa kuzalisha mewagati za umeme 418
unamilikiwa na Serikali ya Algeria kwa asilimia 100.
Waziri
wa Nishati na Madini Mhe. Sospeter Muhongo (Kushoto), akiongea na
Waziri wa Viwanda na Migodi wa Algeria, Mhe. Abdessalem
BOUCHOAREB.(Kulia) Mawaziri ambapo wamejadili maeneo ya ushirikiano
katika sekta ya Madini. Katikakati ni mkalimani.
Comments