TANZANIA, ALGERIA KUANZISHA KAMPUNI ZA UBIA

2 
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Muhongo Wa kwanza kulia), akiongea jambo na wataalamu wa masuala ya gesi na umeme wa Algeria wakati walipokwenda kutembelea Mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gesi asilia wa HAMMA ,Mtambo huo wenye uwezo wa kuzalisha mewagati za umeme 418 unamilikiwa na Serikali ya Algeria kwa asilimia 100.
3
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Sospeter Muhongo (Kushoto), akiongea na Waziri wa Viwanda na Migodi wa Algeria, Mhe. Abdessalem BOUCHOAREB.(Kulia) Mawaziri ambapo wamejadili maeneo ya ushirikiano katika sekta ya Madini. Katikakati ni mkalimani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.