DR KHAMIS KIGWANGALLAH NA FAMILIA YAKE AKIWASILI KWENYE HOTELI YA HYYAT KILIMANJARO TAYARI KWA KUTANGAZA NIA KUWANIA URAIS 2015
Mwenyekiti
wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya serikali za Mitaa na Mbunge wa jimbo la
Nzega Dr. Khamis Kigwangallah akiwasili katika hoteli ya Hyyat
Kilimanjaro kwenye mkutano na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali
ambapo leo ametangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya
Tanzania unaotarajiwa kufanyika mwaka ujao 2015, Dk. Khamis Kigwangallah
ameongozana na mke wake Dr. BayoumAwadh na watoto wake Sheila ambaye ni
mkubwa Hawa na HK Junior aliyembeba.
Dr. Khamis Kigwangallah wakiigia katika chumba cha mkutano tayari kwa kuanza mkutano huo.
Comments