FAINALI YA KOMBE LA MEYA 2014 NYAMAGANA JUMAMOSI HII HAPATOSHI


Kutoka juu ni Uwanja wa Nyamagana mahala ambako fainali ya Michuano ya Pepsi Kombe la Meya 2014 kati ya Mkolani Fc v/s Mirongo utachezwa.
Kikosi cha Mkolani Fc kilichoshuka dimbani jana kukiputa na Mnadani Fc, matokeo kikaibuka na ushindi wa bao 2-1, hivyo kusonga mbele katika hatua ya fainali ya Michuano ya Pepsi Kombe la Meya 2014, itakayochezwa jumamosi hii kwenye uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza.
Kikosi cha Mnadani Fc, kilichoshuka dimbani jana kucheza na Mkolani Fc matokeo kikakamuliwa bao 2-1, hivyo kucheza mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya Sokoni katika Michuano ya Pepsi Kombe la Meya 2014, mchezo utakaochezwa kabla mchana kabla ya fainali jumamosi hii kwenye uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza.
Wadau wa Michezo waliofurika katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza kushuhudia mchezo wa nusu fainali kati ya Mkolani v/s Mnadani Fc.
Pepsi Kombe la Meya ni michuano iliyoasisiwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mkolani Mhe. Stanslaus Mabula, ikisimamiwa na Kampuni ya May way Entertainment.
Mashabiki .

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.