BENKI YA EXIM KATIKA MKUTANO WA NANE WA MWAKA WA WAKAGUZI MAHESABU ARUSHA



 Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu wa ndani wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. George Binde (wa kwanza kulia) akiwapa kipeperushi chenye taarifa za huduma zitolewazo na benki hiyo wateja walipotembelea banda la benki wakati wa mkutano wa nane wa mwaka wa Ukaguzi wa Mahesabu ya Ndani ulioandaliwa na Taasisi ya Ukaguzi wa Mahesabu ya Ndani (IIA) uliofanyika Arusha hivi karibuni. Pamoja ni Meneja Mauzo, Assed Naqvi (wapili kulia) na Bw. Gabriel Milling Mkaguzi wa Mahesabu wa Ndani wa Benki hiyo (wa tatu kulia). Picha na Mpiga Picha Wetu.
Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakionyesha tuzo iliyopewa benki wakati wa mkutano wa nane wa mwaka wa Ukaguzi wa Mahesabu Ya Ndani ulioandaliwa na Taasisi ya Ukaguzi wa Mahesabu ya Ndani (IIA) uliofanyika Arusha hivi karibuni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.