KINANA AWATAKA MAWAZIRI MWAKYEMBE, MUHONGO NA MAHENGE KUTEKELEZA WAJIBU WAO HARAKA IWEZEKANAVYO KUHUSU BANDARI, KUKATIKAKATIKA KWA UMEME NA TAKA ZA SUMU MTWARA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara Mjini Mtwara leo, ambapo aalimpa Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe kutoa majibu ya kwanini shenena za korosho hazipishiwi Bandari ya Mtwara? Pia ametoa mwezi mmoja wa Waziri wa Mazingira kuhusu suluhisho kuhusu utupwaji ovyo taka za sumu mjini Mtwara pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuhusu kukatikakatika ovyo kwa umeme katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkiutano wa hadhara Mjini Mtwara leo ambapo aliwabeza wapinzani kwamba wako mahututi kwani hata katika chaguzi zijazo CCM itawabwaga hivyo kufa kabisa.
Wananchi wakishangilia wakati Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya pamoja na kusikiliza kero za watu na kuzitafutia ufumbuzi.
Kinana akishangili na wafuasi wa CCM alipowasili kwenye mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mashujaa.
Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Kinana
Nape Nnauye akuhutubia katika mkutano huo uliofurika watu
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Hasnein Murji akuziihutubia katika mkutano huo ambapo alielezea miradi mbalimbali iliyotekelezwa katika jombo hilo kwa kufuata Ilani ya Uchag
Wafuasi wa CCM wakishangilia kwa nderemo hotuba ya Kinana
Kinana akikagua Uwanja wa CCM wa Umoja ambao umepandwa nyasi katika sehemu ya kuchezea ikiwa ni mwendelezo wa ukarabati wa uwanja huo
Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara, Shaibu Akwilombe akielezea jinsi walivyokarabati Uwanja huo kwa nyasi kutoka Afrika Kusini.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akielezea jinsi CCM inavyokarabati viwanja vyao katika mikoa ya Mbeya, Mwanza, Mbeya, Shinyanga Mtwara.
Kinana akikagua Uwanja huo
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkiutano wa hadhara Mjini Mtwara leo ambapo aliwabeza wapinzani kwamba wako mahututi kwani hata katika chaguzi zijazo CCM itawabwaga hivyo kufa kabisa.
Wananchi wakishangilia wakati Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya pamoja na kusikiliza kero za watu na kuzitafutia ufumbuzi.
Kinana akishangili na wafuasi wa CCM alipowasili kwenye mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mashujaa.
Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Kinana
Nape Nnauye akuhutubia katika mkutano huo uliofurika watu
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Hasnein Murji akuziihutubia katika mkutano huo ambapo alielezea miradi mbalimbali iliyotekelezwa katika jombo hilo kwa kufuata Ilani ya Uchag
Wafuasi wa CCM wakishangilia kwa nderemo hotuba ya Kinana
Kinana akikagua Uwanja wa CCM wa Umoja ambao umepandwa nyasi katika sehemu ya kuchezea ikiwa ni mwendelezo wa ukarabati wa uwanja huo
Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara, Shaibu Akwilombe akielezea jinsi walivyokarabati Uwanja huo kwa nyasi kutoka Afrika Kusini.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akielezea jinsi CCM inavyokarabati viwanja vyao katika mikoa ya Mbeya, Mwanza, Mbeya, Shinyanga Mtwara.
Kinana akikagua Uwanja huo
Comments