Rais wa Shirika la Wanawake Wenye Mafanikio (TWAA), Irene Kiwia 9kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa Tuzo ya Wanawake Wenye Mafanikio Tanzania 2015 zitakazofanyika hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa TWAA, Sadaka Gandhi. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA-KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mwenyekiti wa TWAA, Sadaka Gandhi, akifafanua jambo wakati wa mkutano, ambapo alisema wanawake wataoshiriki kwenye tuzo hiyo ni kuanzia umri wa miaka 18 hadi 27.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika mkutano huo uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Serena jijini.
Mwenyekiti wa TWAA, Sadaka Gandhi, akifafanua jambo wakati wa mkutano, ambapo alisema wanawake wataoshiriki kwenye tuzo hiyo ni kuanzia umri wa miaka 18 hadi 27.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika mkutano huo uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Serena jijini.
Comments