TWAA WAZINDUA TUZO ZA WANAWAKE WENYE MAFANIKIO TANZANIA 2015

 Rais wa Shirika la Wanawake Wenye Mafanikio (TWAA), Irene Kiwia 9kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa Tuzo ya Wanawake Wenye Mafanikio Tanzania 2015  zitakazofanyika hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa TWAA, Sadaka Gandhi. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA-KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mwenyekiti wa TWAA, Sadaka Gandhi, akifafanua jambo wakati wa mkutano, ambapo alisema wanawake wataoshiriki kwenye tuzo hiyo ni kuanzia umri wa miaka 18 hadi 27.
Baadhi ya wanahabari wakiwa katika mkutano huo uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Serena jijini.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.