ARSENAL YALAZWA NA WATANI WAO SPURS, YALAMBWA 2-1



Arsenal imepata kipigo kingine katika Ligi Kuu England katika mechi dhidi ya wapinzani wao katika jiji la London, Tottenham Hotspurs.



Arsenal imelala kwa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji wake hao, licha ya kuonekana kuwa kama wangeshinda mechi hiyo.

Wakati bao pekee la Arsenal kufungwa na Mesut Ozil, aliyewanyima usingizi mashabiki wa Arsenal leo ni Harry Kane ambaye alifunga mabao yote mawili.









Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.