JK AONGOZA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO MWILI WA MAMAKE MKURUGENZI WA TAKUKURU

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima
zao za mwisho kwa Marehemu Esther Gigwa Hosea, Mama Mzazi wa
Mkurugenzi Nkuu wa TAKUKURU, Dkt Edward Hosea huko Msaki jijini Dar es
salaam leo.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimfariji
Mkurugenzi Nkuu wa TAKUKURU, Dkt Edward Hosea Masaki jijini Dar es
salaam leo walipofika heshima zao za mwisho kwa mama yake mzazi
Marehemu Esther Gigwa Hosea huko Msaki jijini Dar es salaam leo.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete pamoja na Makamu
wa Rais Dkt Mohamed Ghariv Bilali, Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni
Sefue wakiwa pamoja na wafiwa wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Esther
Gigwa Hosea, Mama Mzazi wa Mkurugenzi Nkuu wa TAKUKURU, Dkt Edward
Hosea huko Msaki jijini Dar es salaam leo.
Sehemu ya wafiwa na waombolezaji wakati wa kuaga mwili wa Marehemu
Esther Gigwa Hosea, Mama Mzazi wa Mkurugenzi Nkuu wa TAKUKURU, Dkt
Edward Hosea huko Msaki jijini Dar es salaam leo.

PICHA NA IKULU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI