KONYAGI WASHINDI WA PILI TUZO YA UZALISHAJI BORA TANZANIA

 Watendaji wakuu wa kampuni ya Tanzania Distilleries Limited maarufu  Konyagi, wakifurahia kombe kombe la ushindi wa pili wa tuzo ya Rais ya Mzalishaji Bora wa Mwaka 2014 baada ya kukabishbiwa  kutoka kwa Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, kwenye hafla ya  makabidhiano ya tuzo hizojijini Dar es Salaam juzi usiku. TDL ni kampuni tanzu ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).(PICHA NA MPIGAPICHA WETU)

 Meneja wa Mauzo wa Tanzania Distilleries Limited (TDL)maarufu  Konyagi, Joseph  Chibehe ( kushoto) akipokea kombela ushindi wa pili wa tuzo ya Rais ya Mzalishaji Bora waMwaka 2014, kutoka kwa Makamu wa Rais, Dk. Mohamed GharibBilal, kwenye hafla ya  makabidhiano ya tuzo hizo jijiniDar es Salaam juzi usiku. TDL ni kampuni tanzu ya Kampuniya Bia Tanzania (TBL).
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal akimkabishi cheti cha ushiriKi Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL), Doris Malulu wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo ya Rais ya Mzalishaji Bora wa Mwaka 2014, Dar es Salaam juzi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.