- Get link
- Other Apps
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman
Mbowe akizungumza na vijana wa ulinzi wa chama hicho maarufu kama Red
Brigade, (RB), kutoka Kanda ya Kati ya Mikoa ya Dodoma na Singida kwenye
makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma leo Jumatatu Februari 9, 2015.
Vijana hao hutumika kulinda viongozi, mali za chama na kwenye mikutano
ya hadhara na ile ya ndani ya chama.
Mbowe wakati akizungumza na RB
Comments