NEC YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KUJADILI MAANDALIZI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto), Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia (kulia) na Mwenyekiti wa NLD, Emmanuel Makaidi wakinyoosha mikono kuomba kuchaguliwa kuchangia hoja wakati wa mkutano wa kujadili uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na maandalizi ya Kura ya Katiba inayopendekezwa. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kushoto) akifurahia jambo na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia (kulia) pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, Willblod Slaa wakati wa mapumziko katika mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Viongozi wa vyama vya siasa wa kujadili maboresho ya uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, Dar es Salaam
Sehemu ya wadau wa siasa wakiwa katika mkutano huo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva (kushoto), akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na viongozi wa vyama vya siasa wa kujadili maboresho ya uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, Dar es Salaam
Lipumba akisalimiana na Msajiri wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi (katikati) na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kushoto), akiteta na Katibu Mkuu wa ACT -Tanzania, Samson Mwigamba wakati wa mapumziko. Viongozi hao waliwahi tibuana na kusababisha Mwigamba kuhamia chama hicho kipya kutoka Chadema
Msajiri wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi (kushoto) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa Chama cha United Demoratic (UDP), John Cheyo wakati wa mkutano huo.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena Sakaya akichangia hoja wakati wa mkutano huo wa kujadili uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Dar es Salaam
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kushoto) akifurahia jambo na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia (kulia) pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, Willblod Slaa wakati wa mapumziko katika mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Viongozi wa vyama vya siasa wa kujadili maboresho ya uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, Dar es Salaam
Sehemu ya wadau wa siasa wakiwa katika mkutano huo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva (kushoto), akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na viongozi wa vyama vya siasa wa kujadili maboresho ya uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, Dar es Salaam
Lipumba akisalimiana na Msajiri wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi (katikati) na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kushoto), akiteta na Katibu Mkuu wa ACT -Tanzania, Samson Mwigamba wakati wa mapumziko. Viongozi hao waliwahi tibuana na kusababisha Mwigamba kuhamia chama hicho kipya kutoka Chadema
Msajiri wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi (kushoto) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa Chama cha United Demoratic (UDP), John Cheyo wakati wa mkutano huo.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Magdalena Sakaya akichangia hoja wakati wa mkutano huo wa kujadili uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Dar es Salaam
Comments