Balozi wa India nchini Tanzania, Debnath Shaw akikata utepe kuashiria
uzinduzi wa Ofisi za Ask Indus nchini Tanzania, kushoto ni Mkurugenzi
Mtendaji wa Ask Indus Global, Abhilash Puljal pamoja na wageni wengine
wakishuhudia.
Mkurugenzi Mtendaji wa Ask Indus Global, Abhilash Puljal (kulia) akitoa
ufafanuzi ndani ya Ofisi za Ask Indus nchini Tanzania kwa Balozi wa
India nchini Tanzania, Debnath Shaw
Balozi wa India nchini Tanzania, Debnath Shaw (kushoto) akizungumza
mara baada ya kuzinduzi rasmi Ofisi za Ask Indus nchini Tanzania. Kutoka
kulia ni Meneja wa Ask Indus nchini Tanzania, A. Prakash na Mkurugenzi
Mtendaji wa Ask Indus Global, Abhilash Pulja
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments