Uzinduzi wa Mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Mjini.

      

C1Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar  (katikati) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif ALi Iddi (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,Mama Mwanamwema Shein (kushoto) na Mwenyekiti wa Mkoa Mjini kichama Borafya Silima Juma (wa pili kushoto) wakiwa katika uzinduzi wa mfuko wa Maendeleo ya Mkoa wa Mjini sambamba na Chakula cha kuchangia Mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani jana,[Picha na Ikulu) C2Viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi CCM wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Mjini Kichama sambamba na chakula cha kuchangia mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] C3Baadhi ya waalikwa na wafanyabishara wakichukua Chakula   wakati wa hafla ya Chakula cha hisani cha kuchangia  Mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini Kichama  katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] C4Wanakamati  wa maalum ya katika hafla ya uzinduzi wa Mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini Kichama wakifuatilia kwa makini na kufanya mahesabu wakati wa Chakula cha hisani cha kuchangia  Mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,[Picha na Ikulu.] C5Baadhi ya wajumbe wa kamati Maalum ya mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini wakielekezana jambo wa uzinduzi wa Mfuko huo sambamba na Chakula cha hisani cha kuchangia  Mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,[Picha na Ikulu.] C6Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar (kulia) alipokuwa akitoa nasaha zake wakati wa Chakula cha hisani cha kuchangia  Mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini uliofanyika jana katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja na kuwajumuisha wafanyabiashara mbali mbali na Viongozi wa CCM wa Mkoa huo ,[Picha na Ikulu.] C7 Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif ALi Iddi akiwaongoza Viongozi mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi katika kuchukua chakula wakati wa hafla maalum ya chakula cha hisani cha kuchangia mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini kichama katika ukumbi wa salama Bwawani Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] C8Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Stephen Wasira akiungana na Viongozi mbali mbali katika hafla ya chakula cha hisani cha kuchangia Uzinduzi wa Mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini Kichama katika ukumbi wa salama Bwawani Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] C9Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akichukua chakula katika hafla ya chakula cha hisani cha kuchangia mfuko wa maendeleo wa Mkoa wa Mjini Kichama katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana,[Picha na Ikulu.] C10Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar  akimkabidhi cheti maalum Mama Mwnamwema Shei kwa Mchango wake alioutoa wakati wa Hafla ya chakula cha hisani cha kuchangia mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini Kichama katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja (katikati) Mwenyekiti wa Mkoa wa Mjini Borafya Silima Juma(katikati) [Picha na Ikulu.] C11Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Shilingi za Kitanzania laki tano kutoka kwa Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Stephen Wasira wakati hafla ya chakula cha hisani kuchangia mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini Kichama katika ukumbi wa Salama Bwawani jana,[Picha na Ikulu.]
C12Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Shilingi za Kitanzania laki tano kutoka kwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohamed Raza wakati hafla ya chakula cha hisani kuchangia mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini Kichama katika ukumbi wa Salama Bwawani jana,[Picha na Ikulu.] C13Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Shilingi za Kitanzania laki tano kutoka kwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohamed Raza wakati hafla ya chakula cha hisani kuchangia mfuko wa maendeleo ya Mkoa wa Mjini Kichama katika ukumbi wa Salama Bwawani jana,[Picha na Ikulu.]

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.