RIO FERDINAND AMEZUNGUMZA HIVI BAADA YA KUFIWA NA MKE WAKE


3
‘My soul mate slipped away last night. Rebecca, my wonderful wife, passed away peacefully after a short battle with cancer at the Royal Marsden Hospital in London,” alisema Rio Ferdinand akizungumzia kifo cha mke wake.Rio amefiwa na mke wake ambae alisumbuliwa na cancer kwa muda mfupi. Rio anasema mke wake alikua mama mzuri kwa watoto wao watatu na atakumbukwa kama mke,dada,shangazi na mambo mengine mengi.Ningependa kutoa shukrani kwa wataalam wote wakiongozwa na Pro Johnstone kwenye hospitali ya Royal Marsden wakijaribu kumsaidia mke wangu kwenye hili tatizo.

Rio Ferdinand na marehemu mke wa Rebecca Ellison walifanikiwa kupata watoto watatu Lorenz,Tate na Tia.
2
Rio akiwa na marehemu mke wake na watoto wae.

1

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.