Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gari la kubeba wagonjwa lililotolewa na
kampuni ya Sayed Corporation Limited kwa ajili ya hospitali ya
Endulen ya Ngorongoro . Gari hilo lilikabidhiwa kwa Waziri Mkuu,
Ofisini kwake jijini Dar es salaam Juni 1, 2015 na Mkurugenzi Mtendaji
wa kampuni hiyo, Bw. Masood ur Rehman Sayed (kulia kwake) jijini Dar es
slaam . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wafanyabiashara na wawekezaji
kutoka Marekani, Ofisi kwake jijini Dar es salaam Juni 1, 2015. Kulia
kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje,Liberata Mulamula. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara na
wawekezaji kutoka Marekani baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake jijini
Dar es salaam Juni 1, 2015. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu, Wizara ya
Mambo ya Nje na Ushirikikiano wa Kimataifa, Liberata Mulamula.(Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu
Comments