BREEAKING NEEWZZZ : AJALI YA BASI LA SIMIYU EXPRESS YAUWA WATU WENGI BAADA YA KUACHA NJIA NA KUGONGA MBUYU HUKO DODOMA, MAJERUHI PIA NI WENGI SANA
Basi la Simiyu Express likiwa eneo la tukio
Taarifa kutoka mkoani Dodoma zinasema basi la Simiyu Express Lililokuwa likitokea mkoani Simiyu kuelekea jijini D ar es salaam limeacha njia mara
baada ya kupasuka tairi na kuacha njia na kugonga mbuyu na kisha kupinduka.
baada ya kupasuka tairi na kuacha njia na kugonga mbuyu na kisha kupinduka.
Ajali hiyo ni mbaya sana Imetokea Dodoma.
Comments