MKURUGENZI
Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba,
akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa
Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22,
2015.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, (SSRA), Irine Isaka, akifungua warsha hiyo
Mhariri Shemax Ngahamera akizungumza kwenye warsha hiyo
Mhariri
wa vipindi wa ITV/Radio One, Steven Chuwa, (kulia), na Mhariri Mtendaji
wa EFM, Scolastica Mazula, wakipitia mada zilizokuwa zikitolewa na
Mkurugenzi Mkuu wa WCF
Mhariri Mshiriki wa gazeti la Nipashe, Ramadhan Mbwaduke, akiuliza swali
Mhariri gazeti la Serikali, Sunday News, Ichikaeli Maro, akizungumza wakati wa warsha hiyo
Comments