Mkurugenzi wa Shindano la Miss
Kiliamnjaro Ambassador,Jackline Chuwa akikabidhi msaada wa nguo na viatu
kwa wakazi wa vijiji vya Ulu na Rau vilivyopo karibu na mji wa Moshi
kwa udhamini wa kampuni ya Dream for Life iliyopo mkoani Kilimanjaro.
Warembo wa Miss Kilimanjaro
Ambassador 2015 wakiangalia wenzao wanaochuana katika mchezo wa kuvuta
kamba,kukimbia na kucheza muziki,ambapo warembo hao waliwashinda
wafanyakazi wa Dream for Life.
Warembo wanaowania taji la Miss
Kilimanjaro Ambassador 2015 wakishindana kuvuta kamba na Wafanyakazi wa
kampuni ya Dream for life.
Shughuli hii ya utoaji msaada kwa
wanakiji iliambatana na burudani pamoja kucheza muziki,shughuli hii
ilifanyika nje kidgo ya mji wa Moshi.
Wanahabari wakifanya mahojiano na
Baadhi ya warembo wa Shindano hilo baada ya kumalizika kwa shughuli
hiyo,fainali za shindano hilo zitafanyikaijumaa hii katika ukumbi wa
Kili home Moshi mjini.
Warembo wakipanda Basi
maalumu kwaajili ya shughuli za shindano ambalo hulitumia kwa shughuli
za kutembelea sehemu mbakimbali,hii nimoja kati ya kazi za kijamii
zinazoendelea kufanywa na warembo hao mkoani humo.
Comments