Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye jarida la Mpango wa
Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo baada ya kuuzindua mpango huo leo
Jumatatu Julai 20, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye jarida la Mpango wa Modenaizesheni
ya Sekta ya Mifugo baada ya kuuzindua mpango huo leo Jumatatu Julai 20, 2015
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na maafisa waandamizi wa Wizara ya
Mifugo baada ya kuzindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo
leo Jumatatu Julai 20, 2015
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na jamii ya wafugaji wa kabila la
Kimaasai baada ya kuzindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo
leo Jumatatu Julai 20, 2015.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na jamii ya wafugaji wa kabila la
Kimaasai baada ya kuzindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo
leo Jumatatu Julai 20, 2015. Pamoja naye ni Waziri Mkuu wa zamani wa
Kenya Mhe. Raila Odinga ambaye yupo nchini kwa ziara binafsi.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipena mikono na Dkt. Kaush Arha baada ya
kuongea katika uzinduzi wa Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo
leo Jumatatu Julai 20, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo leo Jumatatu Julai 20, 2015.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipatiwa maelezo kuhusu miradi ya maendeleo ya
Wizara yaMifugo kutoka kwa mmoja wa maafisa waandamizi wa wizara hiyo
wakati Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo leo Jumatatu Julai
20, 2015. hata hivyo Rais alionesha kutofurahishwa na utendaji wa Wizara
hiyo na kuwataka watendaji wake wabadilike kimawazo kwa kutenda kazi
kwa njia za kisasaili kuiendeleza sekta hiyo muhimu kwa haraka.PICHA NA
IKULU
Comments