Tanzania yawa kivutio katika Maonyesho ya Afrika Mashariki yanayofanyika Nairobi Nchini Kenya

Ufunguzi wa maandamano ya maonyesho ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yajulikanayo kama JAMFEST yaliyoanza leo katika Viunga vya Ukumbi wa Kimataifa wa Kenyata uliopo jijini Nairobi Kenya.
Muongozaji wa bendi ya polisi nchini Kenya akiongoza maandamano ya Ufunguzi wa Maonyesho ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo nchi zote za Afrika Mashariki zimeshiriki maonyesho hayo yanayoanza leo katika viunga vya Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyata.
Msafara wa uzinduzi wa maonyesho ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ukiwa unatoka katika viwanja vya Uhuru Park uliopo ndani ya jiji la Nairobi kuelekea katika Viunga vya Ukumbi wa Kimataifa wa Kenyata ambapo baadhi ya wakazi wa nchi mbalimbali kutoka Afrika Mashariki wakionyesha bidhaa zao.
Watanzania wakiwa na bendera ya nchi kabla ya maandamano kuanza Katika viwanja vya Uhuru Park jijini Nairobi.
Watanzania wakiwa na furaha ya kushiriki maonyesho ya jumuiya ya Afrika Mashariki yanayoanza kufanyika katika Viwanja vya KICC Nairobi Kenya.
Watanzania wakitoa burudani katika viwanja vya Uhuru Park kabla ya Maandamo ya Ufunguzi wa Maonyesho ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayoanza leo katika viwanja vya KICC Nairobi Kenya.
Tanzania Kwanza mengine baadae..
Wadau wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja.Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.