SIMU.TV: Rais wa kampuni ya Dangote ameipongeza serikali na wananchi kwa kubadilisha serikali kwa amani jambo ambalo litazidi kuvutia wawekezaji. https://youtu.be/2aeczjzHpsY
SIMU.TV: Watoto zaidi ya 40 wenye ugonjwa wa mdomo sungura kufanyiwa upasuaji baada ya kupata ufadhili wa kampuni ya Geita Gold mine; https://youtu.be/2IMVZvEzd4c
SIMU.TV: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita amesema hatasita kuwafukuza kazi watumishi wanaokataa kwenda kufanya kazi vijijini; https://youtu.be/wuyLttIDxlM
SIMU.TV: Mmoja wa Walionusurika katika Migodi ya Tanzanite arusha amefariki dunia jana baada ya kupata matatizo ya Pumzi. https://youtu.be/sleJYIPTtAE
SIMU.TV: Katibu mkuu wa Chama cha Madereva yaendayo mikoani Rashid Saleh amefariki dunia kwa kusadikika Kula chakula chenye Sumu.https://youtu.be/fh_ DhC0qY2I
SIMU.TV: Chama cha Wachimbaji wadogo wa Madini Ya Tanzanite kimepinga tamko la Kamishna wa Madini Juu ya Utaratibu mpya wa Uchimbaji.https://youtu.be/ qXN08oQN0mU
SIMU.TV: Kanisa la Anglikana limesema liko tayari kuungana na Serikali ya awamu ya 5 kutokana na mwelekeo mzuri aliyoonesha Rais Magufuli. https://youtu.be/SzRA7cG6RHA
SIMU.TV: Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema usimamizi wa miradi ya maendeleo inahitaji taaluma ili kufikia malengo ya milenia. https://youtu.be/nDl0Z0uajxw
Regards
Preview YouTube video Rais Wa Dangote Aipongeza Serikali Ya Tanzania
Preview YouTube video Watoto 40 Wapata Ufadhili Wa Matibabu Geita
Preview YouTube video Wafanyakazi Wazembe Kufukuzwa Geita
Preview YouTube video Mmoja Wa Walionusurika Machimboni Kahama Afariki Dunia
Preview YouTube video Kifo cha katibu chama cha madereva Chagubikwa na Utata
Preview YouTube video Chama Cha Wachimbaji Wadogo Wa Madini Chapinga Tamko La Kamishna
Preview YouTube video Anglikana Mbeya Yakiri Kumuumga Mkono Rais Magufuli
Preview YouTube video Usimamizi Wa Miradi Zanzibar.
Comments