STARS VS ALGERIA LEO BLIDA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager leo usiku saa 1:15 kwa saa za Algeria, (sawa na saa 3:15 kwa saa za Afrika Mashariki) itashuka dimbani kuwakabili wenyeji Algeria katika mchezo wa marudiano wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi. Fuata link chini kwa taarifa zaidi
http://tff.or.tz/news/252-stars-vs-algeria-leo-bilda
TFF YATANGAZA TENDA YA MSHAURI WA ELEKTRONIKI
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), kwa kushirikiana na mzabuni wa tenda ya elektroniki benki ya CRDB, leo limetangaza tenda ya kumsaka mshauri wa mfumo wa Elektroniki (Consultant) kwa ajili ya kupitia mapungufu yaliyopo katika mfumo wa uuzaji tiketi wa elektroniki katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania. Fuata link chini kwa taarifa zaidi
http://tff.or.tz/news/251-tff-yatangaza-tenda-ya-mshauri-wa-elektroniki
Comments