Rais Dk John Magufuli akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Tganzania wakati wa ufunguzi wa Bunge hilo la 11, mjini Dodoma, ambalo lilitawaliwa na zomea zomea kutoka kwa wabunge wa upinzani wakipinga kitendo cha kuruhusiwa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuingia bungeni wakidai si rais.
Baada ya kuona kelele zinazidi, Spika wa Bunge wa Bunge, Job Ndugai aliwasihi kuacha kufanya hivyo mara tatu, na kuwaamuru kutoka nje ili Rais aendelee na kazi ya kulihutubia na kulifungua bunge .
Ilibidi wapinzani hao watii amri ya Spika hasa baada ya kuona Askari wa Bunge wakiingia kuwatoa endapo wangekaidi.
Rais Dk Magufuli akiingia bungeni huku akisindikizwa na Askari wa Bunge. Samahani picha siyo nzuri zimepigwa kwenye TV.
Spika wa Bunge, Job Ndugai akiwasihi wabunge wa upinzani kuacha kufanya vurugu bungeni.
Marais wastaafu wakiwa bungeni kusikiliza hotuba ya Rais, Dk Magufuli. Kutoka kushoto ni, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na Amani Karume rais mstaafu wa Zanzibar.
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT -Wazalendo), akiwa amebaki peke yake eneo la wabunge wa upinzani wa Ukawa waliotimuliwakwa kufanya vurugu.
Rais wa Zanzibar akiingia bungeni
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan (kushoto) na Naibu Spika, Dk Tulia Akson Mwansasu wakiingia bungeni
Rais Dk Magufuli na Spika Nduai wakiingia bungeni
Rais Dk Magufuli akiingia bungeni eneo la kuhutubia
Wabunge wa Upinzani hasa ambao wamo kwene Umoja wa Ukawa wakitoka bungeni baada ya kutimuliwa kwa kufanya vurugu.
Baada ya kuona kelele zinazidi, Spika wa Bunge wa Bunge, Job Ndugai aliwasihi kuacha kufanya hivyo mara tatu, na kuwaamuru kutoka nje ili Rais aendelee na kazi ya kulihutubia na kulifungua bunge .
Ilibidi wapinzani hao watii amri ya Spika hasa baada ya kuona Askari wa Bunge wakiingia kuwatoa endapo wangekaidi.
Rais Dk Magufuli akiingia bungeni huku akisindikizwa na Askari wa Bunge. Samahani picha siyo nzuri zimepigwa kwenye TV.
Spika wa Bunge, Job Ndugai akiwasihi wabunge wa upinzani kuacha kufanya vurugu bungeni.
Marais wastaafu wakiwa bungeni kusikiliza hotuba ya Rais, Dk Magufuli. Kutoka kushoto ni, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na Amani Karume rais mstaafu wa Zanzibar.
Rais wa Zanzibar akiingia bungeni
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan (kushoto) na Naibu Spika, Dk Tulia Akson Mwansasu wakiingia bungeni
Rais Dk Magufuli na Spika Nduai wakiingia bungeni
Rais Dk Magufuli akiingia bungeni eneo la kuhutubia
Wabunge wa Upinzani hasa ambao wamo kwene Umoja wa Ukawa wakitoka bungeni baada ya kutimuliwa kwa kufanya vurugu.
Comments