WAZIRI MKUU MAJALIWA KWENYE HAFLA FUPI YA KUZINDUA BUNGE


X1 X2
Waziri  Mkuu,   Majaliwa Kassim Majaliwa  akizungumza na  Mke wa Rais Mstaafu wa  Awamu ya Nnne , Mama Salma Kikwete katika hafla fupi  iliyoyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjiniDodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba 2015.
X3
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Kassim  wakizungumza na baadhi ya wabunge  na waalikwa waliohudhuria hafla fupi  iliyofanyika kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba  20, 2015.
X4
Waziri  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Mufindi, Cosato Chumi katika hafla  fupi ya kuzindua bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Novemba 20, 2015. Katkati ni Mbunge wa ROrya Lameck Airo.
X5
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na  Spika wa Bunge Job Ndugai (kushoto) , Mkewe Mary  (wapili kushoto) na  Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilila  (wapili kulia) katika hafla ya  kuzindua Bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 20, 2015.
(Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI