Waziri Mkuu mteule, Majaliwa Kassim Majaliwa akitoa shukrani kwa wabunge kumthibisha bungeni Dodoma mchana huu, ambapo alipigiwa kura 258 sawa na asilimia 73.5. kura 91 sawa na asilimia 25.9 zilimkataa na kura zilizopigwa ni 351.
Majaliwa akipongezwa na wabunge kwa ushindi huo. Samahani picha siyo nzuri zimepigwa kwenye TV
Majaliwa akipongezwa na wapinzani
Majaliwa akipongezwa na wabunge kwa ushindi huo. Samahani picha siyo nzuri zimepigwa kwenye TV
Majaliwa akipongezwa na wapinzani
Comments