Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo kwa
ufupi kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Bw.Said Salim Bakhresa
alipowasili Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika ziara ya
kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba za kisasa zinazojengwa
na Kampuni ya Azam Group kwa kushirikiana Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar,(kushoto) Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar
Nd,Salum Khamis Nassor [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo kwa
ufupi kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Bw.Said Salim Bakhresa
alipowasili Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika ziara ya
kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba za kisasa zinazojengwa
na Kampuni ya Azam Group kwa kushirikiana Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar,(kushoto) Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar
Nd,Salum Khamis Nassor [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kwa
ufupi kutoka kwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Bw.Said Salim Bakhresa
alipowasili katika eneo linalotarajiwa kujwga kiwanda cha utengezaji wa
Lami katika Kijiji cha Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika ziara
ya kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba za kisasa
zinazojengwa na Kampuni ya Azam Group kwa kushirikiana Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo
kutoka kwa Bw.Hudhaifa Yussuf Ali Mchoraji wakati alipokuwa akiangalia
zamani za ujenzo wa Nyumba za kisasa zitakazojengwa katika fukwe za
Kijiji cha Fumba Mkoa wa Magharibi Unguja alipokuwa katika ziara maalum
ya kutembea maeneo hayo jana,ujenzi huo utafanyika kwa ushirikiano wa
Kampuni ya Azam Group na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,[Picha na
Ikulu.]
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akifuatana na
Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Bw.Said Salim Bakhresa (katikati) Mkuu wa
Wilaya ya Magharibi A. Bw.Ayoub Mohammed Mahmoud (kushoto) na
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar Nd,Salum Khamis Nassor
wakati alipofanya ziara maalum ya kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji
mpya wa Nyumba za kisasa zitakazojengwa na Kampuni ya Azam Group kwa
kushirikiana Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo
kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitega Uchumi Zanzibar Nd,Salum
Khamis Nassor wakati alipokuwa akiangalia ramani ya Ujenzi wa Nyuma za
Kisasa zitakazojengwa na Kampuni ya Azam Group kwa kushirikiana Serikali
ya Mapinduzi Zanzibar katika maeneo ya fukwe za Kijiji cha Fumba Mkoa
wa Mjini Magharibi Unguja alipofanya ziara maalum,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa
Kampuni ya Azam Group Bw.Said Salim Bakhresa alipowasili Fumba Mkoa wa
Mjini Magharibi jana katika ziara ya kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji
mpya wa Nyumba za kisasa zinazojengwa na Kampuni ya Azam Group kwa
kushirikiana Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzinbar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na viongozi mbali
mbali wakati alipowasili Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika ziara
ya kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba za kisasa
zinazojengwa na Kampuni ya Azam Group kwa kushirikiana na Serikali nya
Mapinduzi ya Zanzibar [Picha na Ikulu.]
Comments