Star TV
Majenerali JWTZ wapewa wizara nyeti, Vilio na Vurugu Dar wananchi wapambana na polisi kupinga Bomoa bomoa. Pata dondoo hizi. https://youtu.be/Ecyxg1qIVvw
CH 10
Kashfa yazikumba MCC na Symbion, Rais Magufuli ateua makatibu wakuu wapya, Mabomu yarindima Dar. Pata dondoo zaidi https://youtu.be/C1MBTn4g2zE
Azam TV
Maswi awa kaimu naibu kamishna wa TRA, Mama auawa na mwanaye, Mazembe, Grnk zashika ulaji wa Samatta Ulaya, Pata dondoo hapa. https://youtu.be/wAiVpqSPzsA
TBC
Waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi awaagiza wakuu wa wilaya na mikoa kuyachukulia hatua makampuni yanayosambaza mbegu za pamba mbovu https://youtu.be/3tjRW21SIvI
Regards
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU
Simu: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Tovuti : www. ikulu.go.tz
Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kesho Ijumaa 01 Januari, 2016 Makatibu Wakuu na Manaibu
Katibu Wakuu walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wataapishwa rasmi katika
kurugenzi Mawasiliano, IKULU
Comments