DICOTA 2016 YAANZA KWA MCHAPALO WA NGUVU



Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Seattle, WA, Bwn. Mutta (kushoto) akiwa na mkewe wakiangalia majina yao huku Bi. Asha Nyang'anyi (kulia) akijaribu kuwahudumia.
Salum kutoka California akikabidhiwa beji na kabrasha lenye jina lake mara tu alipowasili kwenye hotel ya Hyatt Regency Dallas kwenye kongamano la DICOTA 2016 ambalo mwaka huu linafanyika Dallas nchini Marekani.
Mke wa Balozi Bi. Marustela Masilingi akiwa katika picha ya pamoja na Muzo, mwanafuzi wake wa darasa la tano shule ya msingi ya Mapambano ya Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
Mhe. Balozi Wilson Masilingi akibadilishana mawili matatu na wageni waliofika kwenye mchapalo
Balozi Wilson Masilingi na mkewe Marystela wakiongea na mgeni wao Balozi Anisa Mbega





















































































































Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.