Mtangazaji
wa kipindi cha uhondo Adam Melele a.k.a Swebe Santana wa Efm redio
akimkaribisha Meneja wa Mauzo wa Star Times, Juma Mchina Sharobaro ili
atowe zawadi kwa washindi wa tatu na wa pili kwenye viwanja vya jica
Shule Ilala jijini Dar es Salaam.
.Meneja
wa Mauzo wa Star Times, Juma Mchina Sharobaro akiwa na washiriki wa
shindano hilo mara baada ya kuwapatia zawadi, jijini Dar es Salaam.
Meneja
Masoko wa Vodacom Materi Mushi akiwakatika picha ya pamoja na
washiriki wa shindano hilo mara baada ya kuwapatia zawadi, jijini Dar es
Salaam.
Watu wa huduma ya kwanza wakiwahudumia washiriki wa Shindano hilo.
Comments