SIMU.tv: Watu 5 wafariki dunia jijini Dar es saalam baada nyumba yao kufunikwa na kifusi kufuatia kuanguka kwa tanki la maji. https://youtu.be/mqGlAOxECUo
SIMU.tv: Kamati ya kudumu ya bunge ya miundombinu yatembelea miradi mbalimbali mkoani Mbeya inayotumia fedha za serikali na kutoridhishwa na jinsi ilivyotekelezwa na hasa miradi hiyo kutolingana na fedha zilizotumika.https://youtu.be/_02iWpkyxdA
SIMU.tv: Rais John Magufuli akemea vitendo vya utoaji na upokeaji wa rushwa vinavyofanywa dhidi ya magari makubwa yanayosafirisha bidhaa kutoka bandari ya Dar es salaam kwenda katika nchi za maziwa makuu.https://youtu.be/wqmA93030lk
SIMU.tv: Serikali yasema itahakikisha inasimamia maadili ya viongozi wa umma na kuwafanya viongozi hao wawajibike kwa maslahi ya taifa. https://youtu.be/E47WG0EByms
SIMU.tv: Serikali imewasilisha mapendekezo ya mpango wa kiwango cha ukomo wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2016 /2017 pamoja na mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka ujao wa fedha. https://youtu.be/wQGdyQH_Qkc
SIMU.tv: Watu 5 wafariki dunia mkoani Singida baada ya kuangukiwa na nyumba wakati wamelala usiku kufuatia mvua kubwa zinazonyesha. https://youtu.be/6sU5B-J7vUE
SIMU.tv: Uteuzi wa Hamad Rashid na wagombea urais wengine kwenye baraza la wawakilishi Zanzibar wapokelewa kwa hisia tofauti. https://youtu.be/6ElUvP6BkfE
SIMU.tv: Baadhi ya wakazi wa kata ya Kibamba jijini Dar es salaam walalamikiwa hatua kubomolewa nyumba zao bila ya kupewa taarifa kutoka mamlaka husika. https://youtu.be/yB4Yng1y90k
SIMU.tv: Serikali yasema haitasita kumchukulia hatua mtumishi yeyote wa umma atakaye kiuka maadili ya utumishi kwa kujiingiza katika vitendo vya rushwa, ufisadi na ubadhilifu wa mali ya umma kwa kuliingizia taifa hasara.https://youtu.be/gCxI4LWs3y4
SIMU.tv: Makamo wa Rais Samia Suluhu asema lengo la serikali ni kuona mageuzi ya kiuchumi yanayowezeshwa na ukuaji wa viwanda nchini ili kutoa ajira na kuikwamua nchi kutoka kwenye umasikini. https://youtu.be/SYALu0_1p2o
SIMU.tv: Wananchi wa Ikwiriri wilayani Rufiji mkoani Pwani walaani vikali vitendo vya ubabe, lugha za matusi na kejeli zinazofanywa na maafisa wa Tanroads wakati zoezi la bomoa bomoa linaloendelea. https://youtu.be/2Hja5gD1_lM
SIMU.tv: Changamoto ya upatikanaji wa damu salama nchini yaelezwa kupungua kwa kiasi kikubwa baada ya mpango wa ukusanyaji wa damu kuvuka lengo. https://youtu.be/O8WP3SNp1YI
Preview YouTube video Nyumba Yafukiwa na Kifusi na Kuua 5
Preview YouTube video Kamati ya Bunge Yakunjua Makucha
Preview YouTube video Rais Magufuli Akemea Rushwa Barabarani
Preview YouTube video Serikali Yalia na Maadili kwa Watumishi wa Umma
Preview YouTube video Serikali Yawasilisha Mapendekezo ya Bajeti
Preview YouTube video Mvua Yaua Watano Singida
Preview YouTube video Uteuzi wa Hamad Rashi na Wenzie Wazua Sokomoko
Preview YouTube video Bomoa Bomoa Yazua Taharuki
Preview YouTube video Mafunzo ya Watumishi wa Umma
Preview YouTube video Mageuzi ya Kiuchumi Tanzania
Preview YouTube video Bomoa Bomoa Ikwiriri Yaliza Watu
Preview YouTube video Changamoto Upatikanaji wa Damu Salama
Comments