Waziri mkuu Kassim Majaliwa asema halmashauri za wilaya, miji na majiji zitakazoshindwa kukusanya mapato kwa asilimia 80 zitafutwa.https://youtu.be/LGpSrwo9ksc
Jeshi la wananchi watanzania JWTZ kwa kushirikiana na umoja wa mataifa limesema litafanya uchunguzi dhidi ya wanajeshi wa Tanzania wanaodaiwa kufanya vitendo vya unyanyasaji nchini Congo. https://youtu.be/kndyFLxcAVE
Mahakama ya Kisutu ya jijini Dar es salaam yawanyima dhamana kamishina mkuu wa TRA wa zamani pamoja na wenzake 2 ambao kwa pamoja wanakabiliwa na mshitaka 4 ikiwemo utakatishaji fedha. https://youtu.be/2aQoBHWWJDo
Polisi kanda maalum ya Dar es salaam yawakata watuhumiwa 63 wa ujambazi na silaha 6. https://youtu.be/cM2nxpweQF4
Serikali imetenga kiasi cha zaidi ya shilingi trilioni moja kwa ajili ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa sekta ya usafiri wa reli na anga katika juhudi za kukuza uchumi wa nchi. https://youtu.be/_3LKRnzdAos
Waziri wa nishati na madini Prof. Muhongo atoa agizo kwaa wafanyakazi wote wa wizara ya nishati na madini walio na vitalu vya madini kuchagua moja kati ya kuendelea kuajiriwa na kuacha vitalu vya madini au waache kazi waendelee na vitalu vya madini.https://youtu.be/vWLL61BECXY
Wizara ya afya maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na vitendo yasema itaendelea kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kufungua maduka ya dawa katika kila makao makuu ya mkoa ili kurahisha upatikanaji wa dawa kwa wananchi katika hospitali mbalimbali.https://youtu.be/qRfuWiwHGKI
Moto mkubwa wateketeza mabweni ya shule ya sekondari Soni Day wilayani Lushoto na kusababisha hasara ya takribani milioni 167.https://youtu.be/26_sGAvrZXo
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam yawatia mbaroni watuhumiwa 63 wa ujambazi huku pia likikamata silaha 6 katika msako maalum. https://youtu.be/6GbQSYE_Tgs
Waziri mkuu Kassim Majaliwa azitaka jumiya za serikali za mitaa nchini ALAT kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali katika kupambana na rushwa na uvujaji wa mapato. https://youtu.be/K_g7rz1YacY
Jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania JWTZ, laeza kushitushwa na taarifa za kulituhumu jeshi hilo juu ya unyanyasaji wa kijinsia kwa wananchi wa Congo huku liki ahidi kufanya uchunguzi na kuchukua hatua kali. https://youtu.be/tC8hmY2qW_0
Nyumba zaidi ya 12 zimeanguka kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Tabora na kusababisha kaya kadhaa kukosa makazi.https://youtu.be/kqql6EYVt3c
Serikali yasema bajeti ya dawa kwa mwaka ujao wa fedha 2016/2017 itakuwa ni zaidi ya mara 3 ya bajeti ya mwaka uliopita ili kuondoa tatizo la dawa na vifaa tiba katika hospitali, vituo vya afya na zahanati nchini. https://youtu.be/Dn--9A4BWXQ
Hatimae ofisi ya madini ya mkoa wa Geita yaufungua mgodi wa Mgusu baada kufungwa hapo awali kwa takribani mwezi 1 kufuatia vifo vya watu 5. https://youtu.be/apX7zOr80PI
Preview YouTube video Waziri Mkuu Azinyooshea Kidole Halmashauri
Preview YouTube video JWTZ Yatuhumiwa kwa Unyanyasaji wa Kijinsia Congo
Preview YouTube video Mahakama Kisutu Yawanyima Dhamana Watuhumiwa Utakatishaji Fedha
Preview YouTube video Polisi Dar Yakamata Majambazi 63 na Bunduki 6
Preview YouTube video Serikali Yatenga Trilioni 1 za Reli na Usafiri wa Anga
Preview YouTube video Waziri Mhongo Ageuka Mwiba Wizarani Kwake
Preview YouTube video Wizara ya Afya Yatekeleza Agizo la Rais Magufuli
Preview YouTube video Moto Mkubwa Wateketeza Mabweni
Preview YouTube video Polisi Dar es Salaam Yakamata Majambazi 63
Preview YouTube video Waziri Mkuu Akemea Rushwa Kwenye Halmashauri
Preview YouTube video JWTZ Yakwaa Kashfa Nchini Congo
Preview YouTube video Mvua Yabomoa Nyumba 12 Tabora
Preview YouTube video Wizara ya Afya Yaja na Kasi ya Aina Yake
Preview YouTube video Mgodi wa Mgusu Wafunguliwa Tena
Comments