Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi,, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama wakipongezwa na wabunge baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu bungeni Dodoma jana.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Stelah Manyanaya (kushoto) na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye wakiwa viwanja vya Bunge tayari kuingia bungeni Dodoma.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Wabunge wakiingia bungeni mjini Dodoma jana. Kutoka kushoto ni Sophia Mwakagenda (Chadema), Lucia Mlowe (CCM) Na Mary Muro (CCM).
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kimataifa na Kikanda, Dk. Susan Kolimba wakiwa viunga vya Bunge tayari kuingia bungeni, Dodoma
Wabunge wakiingia kihudhuria kikao cha bunge mjini Dodoma
Wananhabari habari Mwakalinga (kushoto) na Sakina wa Redio Uhuru wakiingia bungeni Dodoma
Wajumbe wa Chama cha Kutetea Haki za Wazee wakiwa bungeni Dodoma kutaka kuonana na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuzungumzia haki zao.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe akijibu maswali
Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Godbless Lema akiuliza swali
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe akitoa hoja bungeni
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Stelah Manyanaya (kushoto) na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye wakiwa viwanja vya Bunge tayari kuingia bungeni Dodoma.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Wabunge wakiingia bungeni mjini Dodoma jana. Kutoka kushoto ni Sophia Mwakagenda (Chadema), Lucia Mlowe (CCM) Na Mary Muro (CCM).
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kimataifa na Kikanda, Dk. Susan Kolimba wakiwa viunga vya Bunge tayari kuingia bungeni, Dodoma
Wabunge wakiingia kihudhuria kikao cha bunge mjini Dodoma
Wananhabari habari Mwakalinga (kushoto) na Sakina wa Redio Uhuru wakiingia bungeni Dodoma
Wajumbe wa Chama cha Kutetea Haki za Wazee wakiwa bungeni Dodoma kutaka kuonana na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuzungumzia haki zao.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe akijibu maswali
Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Godbless Lema akiuliza swali
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe akitoa hoja bungeni
Comments