VIAPO VYA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA


SIMU.TV: Makatibu tawala 12 wa mikoa mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni wala kiapo cha utii katika ukumbi wa ikulu jijini Dar es salaam,https://youtu.be/guRxoM-cLOw

SIMU.TV: Ni kiapo cha utii na uaminifu katika utendaji wa kazi walizopangiwa ikiwa sambamba na utimizaji wa matakwa ya falsafa ya Hapa kazi tu. https://youtu.be/_CJ6gf8z5Uc

SIMU.TV: Makatibu tawala wapya watia saini fomu maalumu ya maadili ya utumishi wa umma ikiwa na makubaliano ya kuthibitisha kiapo chao.https://youtu.be/S6ejcieHWt8.

SIMU.TV: Makatibu tawala walioapishwa hii leo watoa ahadi ya uadilifu kuwa hawatakwenda kinyume na kiapo walichokula mbele ya rais Magufuli.https://youtu.be/UodKu4-PqTU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.