BALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA BALOZI JASEM AL-NAJEM AKABIDHI MSAADA WA MADAWA NA MAJI KWA AJILI YA KAMBI ZA KIPUNDUPINDU ZANZIBAR.



Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem Al-Najem, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar, kulia Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Halima Maulid na kushoto kwa Balozi Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed na Mkurugenzi Kinga Wizara ya Afya Zanzibar. Dk Mohammed Dahoma. 
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akikabidhi msaada wa Dawa kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, wakishuhudia kulia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bi Halima Maulid na kushoto Daktari Dhamana Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem Al-Najem, akimkabidhi dawa Naibu Waziri Wizara ya Afya Zanzibar, Mhe. Harusi Said, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Halima Maulid na kushoto kwa Balozi Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed na Mkurugenzi Kinga Wizara ya Afya Zanzibar. Dk Mohammed Dahoma. 
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi Halima Maulid akimkabidhi Madawa Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed, baada ya kukabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo wa dawa kwa Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Harusi Said. 
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo wa dawa kwa Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Harusi Said. 
Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed akitowa shukrani kwa Balozi wa Kuwait kwa msaada wao kwa Kambi ya Kipundupindu Zanzibar wakati wa hafla ya kukabidhi Madawa na Katuni za Majili kwa matumizi ya Kambi hizo.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar nje ya Jengo la Wizara Mnani Mmmoja.Imetayarishwa na Othman Mapara.Zanzinews,Com.
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini TanzaniaBalozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za Kipindupindu Zanzibar.
Balozi Jasem Al-Najem, akiwasili katika viwanja vya Wizara ya Afya Zanzibar kwa ajili ya kukabidhi Msaada wa Madawa na Maji.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akisalimiana na Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed wakati wa hafla ya kukabidhi Madawa na Maji kwa ajili ya Kambi za Kipindupindu Zanzibar.
Balozi Jasem Al-Najem, akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar kabla ya kuaza kwa hafla ya kukabidhi Madawa na Maji kwa Ajili ya Kambi za Kipindupindu Zanzibar.
Balozi Jasem Al-Najem, akisoma bango lilliloandikwa ujumbe wa hafla hiyo kwa viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar kabla ya kuaza hafla hiyo ya kukabidhi madawa na maji. kushoto Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Harusi Said na Naibu Katibu Mkuu Halima Maulid. 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.