BIASHARA YA PANYA KAMA KITOWEO YAINGIA IRINGA MJINI



Kijana Fredy Mahoma ambae ni mfanyabiashara wa mitego ya panya na panya wazima akisaka wateja wa panya leo mjini Iringa ,panya mmoja anauzwa Tsh 2000 wakati mtego unauzwa Tsh 10,000 kijana huyo anatokea mkoani Dodoma na anadai soko la panya ni kubwa kwa baadhi ya watengeneza sambusa na wanafunzi kwa ajili ya somo la sayansi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.