HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI


SIMU.TV: Fahamu  mengi kutoka kwa mratibu wa mtandao wa elimu Tanzania akikujuza  kuhusu wiki ya elimu na uwezeshaji  shirikishi  katika elimu: https://youtu.be/bsdzeZ4jmO4

SIMU.TV: Jifunze mambo  mbalimbali  yatakayokujenga  kutoka kwa wadau wa  TAMWA wakikuelimisha kuhusu suala la mirathi:https://youtu.be/RdgvGVgcZ-g

SIMU.TV: Fahamu mambo mengi kutoka mkuu wa idara ya mawasiliano East African Community Youth akikujuza kuhusu  vijana na utaifa wao:https://youtu.be/CInOKpzLjXA

SIMU.TV: Mfanyabiashara 1 mkazi wa Arusha amekamatwa na jeshi la polisi akiwa na kilo 350 za sukari.     https://youtu.be/fGUMsvBkffo

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amesitisha shughuli zote za kibinadamu zinazofanywa na watu waliovamia uwanaja wa ndege wa zamani wa Mbeya.   https://youtu.be/YBTUsWl21zM

SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Mwanza limemtia mbaroni msimamizi wa kivuko cha Kamanga kwa tuhuma ya kukaidi amri halali.      https://youtu.be/AyxXHtVN50U

SIMU.TV: Wananchi wametakiwa kuchangamkia huduma ya kuunganishiwa huduma ya maji kwa malipo ya baadaye toka DAWASCO.   https://youtu.be/9_SbTCi1VbE

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

๐™‚๐˜ผ๐™ˆ๐™Š๐™‰๐˜ฟ๐™„ ๐™†๐˜ผ๐˜พ๐™ƒ๐™€๐™•๐˜ผ ๐™†๐™„๐˜ฝ๐™„๐™‰๐™‚๐™’๐˜ผ.