SIMU.TV: Fahamu mengi kutoka kwa mratibu wa mtandao wa elimu Tanzania akikujuza kuhusu wiki ya elimu na uwezeshaji shirikishi katika elimu: https://youtu.be/bsdzeZ4jmO4
SIMU.TV: Jifunze mambo mbalimbali yatakayokujenga kutoka kwa wadau wa TAMWA wakikuelimisha kuhusu suala la mirathi:https://youtu.be/RdgvGVgcZ-g
SIMU.TV: Fahamu mambo mengi kutoka mkuu wa idara ya mawasiliano East African Community Youth akikujuza kuhusu vijana na utaifa wao:https://youtu.be/CInOKpzLjXA
SIMU.TV: Mfanyabiashara 1 mkazi wa Arusha amekamatwa na jeshi la polisi akiwa na kilo 350 za sukari. https://youtu.be/fGUMsvBkffo
SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amesitisha shughuli zote za kibinadamu zinazofanywa na watu waliovamia uwanaja wa ndege wa zamani wa Mbeya. https://youtu.be/YBTUsWl21zM
SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Mwanza limemtia mbaroni msimamizi wa kivuko cha Kamanga kwa tuhuma ya kukaidi amri halali. https://youtu.be/AyxXHtVN50U
SIMU.TV: Wananchi wametakiwa kuchangamkia huduma ya kuunganishiwa huduma ya maji kwa malipo ya baadaye toka DAWASCO. https://youtu.be/9_SbTCi1VbE
Preview YouTube video Wiki Ya Elimu Duniani
Preview YouTube video Sheria Ya Mirathi Nchini Tanzania
Preview YouTube video Vijana Na Utaifa Wao
Preview YouTube video mfanyabishara 1 akamatwa na kilo 350 za sukari arusha new
Preview YouTube video makalla atoa onyo kali kwa waliovamia uwanja wa ndege mbeya new
Preview YouTube video msimamizi wa kivuko cha kamanga akamatwa new
Preview YouTube video huduma ya maji kwa malipo ya haraka new
Comments