Mkurugenzi wa taasisi ya Basilla Mwanukuzi foundation na Miss Tanzania 1998 akipokea mwenge wakati wilaya ya Kinondoni ilipopokea mbio za mwenge wa uhuru pamoja na viongozi wa vyama na serikali na wananchi wa kinondoni kwenye uwanja wa shule Bunju jijini Dar es salaam.
HIVI NDIVYO BIASHARA YA NGONO NAMNA INAVYOTIKISA MOROGORO: SEHEMU YA PILI.
Na Juma Mtanda, Morogoro.
Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa mikoa yenye sifa nyingi nzuri na kuthibitisha hilo haitakushangaza kusikia majina makubwa yanayovuma katika nyanja za medani za siasa, muziki na soka n:k.
Baadhi ya watu maarufu ambao wameiletea sifa nzuri mkoa wa Morogoro ni pamoja na mwanamuziki maarufu Mbaraka Mushekhe, Juma Kilaza huku katika muziki wa kizazi kipya huwezi kukosa kumtaja mfalme wa Rhymes, Seleman Msindi (Afande Sele) wakati upande wa soka wapo akina Kassim Manga Mlapakolo, Hassan Mlapakolo, Hussein Ngulungu, Gibbson Sembuli, Jella Mtangwa, Zamoyoni Mogella, Malota Soma na Charles Bonoface Mkwasa bila kusahau Mohamed msomali kocha.
Achia mbali wanamuziki na wanasoka kuivumisha Morogoro na kuileta sifa kedekede ndani na nje ya Tanzania wamo wanasiasa walioitangaza vyema wakiwemo Isack Mwesongo,Guntram Itatiro,Alhaji Juma Ngasongwa, na wengine wengi.
Katika makala haya mwandishi wetu anaingalia sifa nyingine zinayoweza kupata mkoa wa Morogoro na…
Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa mikoa yenye sifa nyingi nzuri na kuthibitisha hilo haitakushangaza kusikia majina makubwa yanayovuma katika nyanja za medani za siasa, muziki na soka n:k.
Baadhi ya watu maarufu ambao wameiletea sifa nzuri mkoa wa Morogoro ni pamoja na mwanamuziki maarufu Mbaraka Mushekhe, Juma Kilaza huku katika muziki wa kizazi kipya huwezi kukosa kumtaja mfalme wa Rhymes, Seleman Msindi (Afande Sele) wakati upande wa soka wapo akina Kassim Manga Mlapakolo, Hassan Mlapakolo, Hussein Ngulungu, Gibbson Sembuli, Jella Mtangwa, Zamoyoni Mogella, Malota Soma na Charles Bonoface Mkwasa bila kusahau Mohamed msomali kocha.
Achia mbali wanamuziki na wanasoka kuivumisha Morogoro na kuileta sifa kedekede ndani na nje ya Tanzania wamo wanasiasa walioitangaza vyema wakiwemo Isack Mwesongo,Guntram Itatiro,Alhaji Juma Ngasongwa, na wengine wengi.
Katika makala haya mwandishi wetu anaingalia sifa nyingine zinayoweza kupata mkoa wa Morogoro na…