SIMU.tv: Baadhi ya viongozi wala kiapo cha ubainifu mbele ya naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania huku hati mbalimbali zikiwasilishwa. https://youtu.be/ZfTVZHwfz-c
SIMU.tv: Mhe. Jafo afafanua juu ya mipango ya kuhakikisha upatikanaji wa shule za awali ikiwa elimu bora ni uti wa mgongo wa maendeleo ya jamii. https://youtu.be/GhtTnP6EDyo
SIMU.tv: Mhe. Josephine Genzabuke aitaka serikali kuongeza ulinzi na vitendea kazi vya mahakama ili kukabiliana na wimbi kubwa la wakimbizi Kigoma. https://youtu.be/xqGvqXLKyW8
SIMU.tv: Mbunge wa kigamboni Dk. Faustine Ndugulile aihoji serikali juu ya ufufuaji wa shirika la uvuvi la TAFICO lililokufa kutokana na uendeshaji mbovu. https://youtu.be/FFABIEOJfE8
SIMU.tv: Wizara ya maji na umwagiliaji yatoa ufafafanuzi juu ya utekelezaji wa ahadi ya mradi wa maji ya bomba mkoani Tabora yanayotoka ziwa Victoria. https://youtu.be/5BGpPFSvHes
SIMU.tv: Mhe. Msukuma achachamaa na kuitaka serikali itoe maelezo juu ya sababu za kutoweka uzio katika mgodi wa Geita Gold Mining GGM. https://youtu.be/4jGmnKbqM4A
SIMU.tv: Mhe. Upendo Peneza aitaka serikali kutoa ufafanuzi juu ya uchunguzi wa vifo vyenye utata vya kisiasa vinavyohusisha vyombo vya dola. https://youtu.be/QlHfoMMDGZA
Regards,
Felister Joseph.
Preview YouTube video hati zawasilishwa mezani
Preview YouTube video Kipaumbele Cha Elimu Kwa Maendeleo Ya Taifa
Preview YouTube video Mikakati Ya Ulinzi Kukabiliana Na Wakimbizi Mkoani Kigoma
Preview YouTube video Ufufuaji Wa Shirika La Uvuvi TAFICO
Preview YouTube video Ukamilishaji Wa Mradi Wa Maji Ya Bomba Tabora
Preview YouTube video Mhe Msukuma Ambana Mhe Masauni
Preview YouTube video Mahakama Ya Vifo Vya Utata Vinavyohusisha Vyombo Vya Dola
Comments