YALIYOJIRI BUNGENI HII LEO.

SIMU.tv: Baadhi ya viongozi wala kiapo cha ubainifu mbele ya naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania huku hati mbalimbali zikiwasilishwa.  https://youtu.be/ZfTVZHwfz-c

SIMU.tv: Mhe. Jafo afafanua juu ya mipango ya kuhakikisha upatikanaji wa shule za awali ikiwa elimu bora ni uti wa mgongo wa maendeleo ya jamii. https://youtu.be/GhtTnP6EDyo

SIMU.tv: Mhe. Josephine Genzabuke aitaka serikali kuongeza ulinzi na vitendea kazi vya mahakama ili kukabiliana na wimbi kubwa la wakimbizi Kigoma.  https://youtu.be/xqGvqXLKyW8

SIMU.tv: Mbunge wa kigamboni Dk. Faustine Ndugulile aihoji serikali juu ya ufufuaji wa shirika la uvuvi la TAFICO lililokufa kutokana na uendeshaji mbovu.  https://youtu.be/FFABIEOJfE8

SIMU.tv: Wizara ya maji na umwagiliaji yatoa ufafafanuzi juu ya utekelezaji wa ahadi ya mradi wa maji ya bomba mkoani Tabora yanayotoka ziwa Victoria.  https://youtu.be/5BGpPFSvHes

SIMU.tv: Mhe. Msukuma achachamaa na kuitaka serikali itoe maelezo juu ya sababu za kutoweka uzio katika mgodi wa Geita Gold Mining GGM. https://youtu.be/4jGmnKbqM4A

SIMU.tv: Mhe. Upendo Peneza aitaka serikali kutoa ufafanuzi juu ya uchunguzi wa vifo vyenye utata vya kisiasa vinavyohusisha vyombo vya dola. https://youtu.be/QlHfoMMDGZA

Regards,
Felister Joseph.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.