WABUNGE WAKIJISAINI WAPATE POSHO BUNGENI

 Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Luhaga Mpina akitia saini kujiorodhesha kwamba anahudhuria kikao bungeni Dodoma jana jioni, utaratibu ambao umeanzishwa Ijumaa iliyopita ili kuwabana wanaotia dole kwenye mashine na kuondoka. Wabunge ambao hawatajiorodhesha bungeni watakatwa posho ya siku.Anayeshuhudia ni Ofisa wa Bunge.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitia saini kujiorodhesha kwamba anahudhuria kikao bungeni Dodoma jana jioni, utaratibu ambao umeanzishwa Ijumaa iliyopita ili kuwabana wanaotia dole kwenye mashine na kuondoka. Wabunge ambao hawatajiorodhesha bungeni watakatwa posho ya siku.Anayeshuhudia ni Ofisa wa Bunge.(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA) 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.