WABUNGE WAPIGWA MSASA NA UNDP JINSI YA KUISIMAMIA SERIKALI

 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Coleman Msoka akiwasilisha mada katika semina ya kuwajengea uwezo wabunge wa kuisimamia vizuri serikali mchana huu mjini Dodoma.Semina hiyo imefadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa. UNDP.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG

 Wabunge wakiwa makini kusikiliza wakati wa semina hiyo



 Mbunge wa Jimbo la Tanga, Mussa Bakari Mbarouk akichangia mada wakati wa semina hiyo na kuiomba UNDP KUWAPATIA MAFUNZO ZAIDI YA UELEWA WABUNGE
 Mbunge wa Jimbo la Rombo, Joseph Selasini akichangia hoja kwa kuiomba UNDP kuwapatia mafunzo kama hayo hata madiwani
 Mbunge wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwako akichangia hoja
 Wabunge wanawake wakiwa katika semina hiyo muhimu
Dk. Alex Kira akifafanua jambo alipokuwa akiwajengea uwezo 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.