WAZIRI WA AFYA UMMYMWALIMU AWAONGOZA WABUNGE WA TANGA KUWAPA POLE WAHANGA WA MAUAJI YA WATU WANANE MTAA KIBATINI JIJINI TANGA
Waziri Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia
,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa Habari Mkoani
Tanga mara baada ya kutembelea eneo la Zed B ambapo wamehamia wananchi
wa Mtaa wa Kibatini kulipotokea mauaji wa watu wanane kwa kuchinjwa
ambapo aliongozana na wabunge wa mkoa wa Tanga kuwapa pole wahanga wa
tukio hilo kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso na
kulia ni Katibu wa CCM wilaya ya Tanga,Lucia Mwiru
Waziri
Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akitazama
vitu vya wahanga wa tukio la mauaji lililotokea kijiji cha kibatini juzi
akiwa na wabunge wa mkoa wa Tanga kushoto ni Mbunge wa Jimbo la
Muheza,Balozi Adadi Rajabu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge
Mambo ya Nchi za Nje na Ndani
Mstahiki Meya wa Jiji la
Tanga,Mustapha Selebosi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya
wabunge wa mkoa wa Tanga kutembelea wananchi waliohamia eneo la Zed B
baada ya kuhama makazi yao ya Mtaa wa Kibatini kutokana na kutoka mauaji
ya watu wanane waliochinjwa juzi na watu wasiojulikana
Waziri Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimuakiwapa pole mmoja wa wafiwa katika tukio hilo la mauaji
Waziri Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu katika akiwa na mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso wakimsikiliza mmmoja wa wajane waliwapoteza wanaume zao kwenye mauaji ya kinyama ya kuchinjwa watu wanane yaliyotokea mtaa wa kibatini jijini Tanga |
Comments