JUMUIYA YA KANGA MATERNITY TRUST YA ZANZIBAR YAFANYA SEMINA KWA WATAFITI WAZALENDO



Dkt. Mdhamin wa Kijiji cha Watoto (S.O.S) Zanzibar Abdulla Mohammed Hassan akimkabidhi Certificate Dkt. Natasha Hussein kwa niaba ya Jumuiya ya Kanga Maternity Trust kwa kazi nzuri waliyoifanya. 
Baadhi ya walikwa katika Semina ya Jumuiya ya Kanga Maternity Trust. Picha na Makame Mshenga /Maelezo Zanzibar.


Daktari bingwa. Tarek Meguid wa wodi ya Wazazi Mnazimmoja Hospitali akitoa tarifa ya pili ya watafiti wazalendo kuhusu wajawazito na watoto katika Semina ya Jumuiya ya Kanga Maternity Trust iliyofanyika Tembo Hotel Mjini Zanzibar. 
Dkt. wa Maradhi ya Saratani Mnazimmoja Hospital Salama Uledi Mwita akitoa taarifa ya hali yaugonjwa wa Saratani ulivyo sasa Zanzibar katika Semina ya Jumuiya ya Kanga Maternity Trust. 
Madaktari bingwa wa Hospitali ya Mnazimmoja, (kulia) Dkt. Tarek Meguid na (kushoto) Dkt. Msafiri Marijani wakiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kanga Maternity Trust (KMT) wakatikati Dk. Mohammed Hafidh wakifuatilia uwasilishwaji wa Tafiti za ndani kwa madaktari wazalendo. 
Dkt. Sanaa S. Said Phisician (Internal medicine) Mnazimmoja Hospital akiuliza swaali kwa watafiti wazalendo (hawapo pichani) katika Semina iliyofanyika Tembo Hotel Mjini Zanzibar. 
Dkt. Msafiri Marijani akitoa ufafanuzi wa maswali yaliyoulizwa kuhusu ugonjwa wa Saratani (kushoto) Dkt. Salama Uledi Mwita ambae amewasilisha tafiti ya ugonjwa wa Saratani ulivyo Zanzibar.  

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.