MAANDALIZI YA NANE NANE KITAIFA KANDA YA KUSINI YAANZA


Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi akitoa maelekezo kwa wajumbe wa Kikao cha Nanenane na Kamati ya Maandalizi wakati akifunga Kikao cha Wadau Kilichofanyika Banda La Naliendele,Viwanja vya Ngongo.
Mhasibu wa Kamati ya Nanenane Kanda ya Kusini,Bw Mkulasi akiwasilisha taarifa ya mapato na matumizi kwa wajumbe wa kikao.
Wajumbe wa Kikao cha Wadau wa Nanenane wakiwa wanamsikiliza Mwenyekiti wa kikao ambaye Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi ( hayupo pichani).
Moja ya barabara inayotengenezwa ili kuwekewa lami ndani ya eneo la uwanja.
Kazi ya utengenezaji wa barabara katika Viwanja vya Maonyesho ya Nanenane – NGONGO ikiwa inaendelea.
Moja ya eneo la vipando katika eneo la vipando la JKT.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.